Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Haki za Binadamu laandaa tume ya kuchunguza ukiukaji wa haki katika Ghaza

Baraza la Haki za Binadamu laandaa tume ya kuchunguza ukiukaji wa haki katika Ghaza

Raisi wa Baraza la UM juu ya Haki za Binadamu, naye anajiandaa pia kutayarisha mazungumzo ya dharura ya kuteua wajumbe wa tume maalumu ya uchunguzi, itakayopelekwa Ghaza kuthibitisha yale madai ya kwamba majeshi ya Israel yamekiuka haki za binadamu kutokana na opereshenzi zao kwenye eneo husika.