Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu wa UNICEF asisitiza watoto Ghaza lazima wahifadhiwe

Mkuu wa UNICEF asisitiza watoto Ghaza lazima wahifadhiwe

Ann Veneman, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) ametoa taarifa maalumu yenye mwito unayoyataka makundi yanayohusika na mapigano yanayoendelea Ghaza, kuhakikisha watoto wanapatiwa hifadhi imara, dhidi ya mashambulio.