Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF inasema wajawazito wa mataifa yanayoendelea hukabiliwa na hatari ya vifo vya uzazi kwa wingi zaidi kushinda nchi tajiri

UNICEF inasema wajawazito wa mataifa yanayoendelea hukabiliwa na hatari ya vifo vya uzazi kwa wingi zaidi kushinda nchi tajiri

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) hii leo limewasilisha ripoti mpya ya mwaka kuhusu “Hali ya Watoto Duniani”.