Makao Makuu ya UM yafadhiliwa dokezi ya Tamasha ya FESMAN 2009
Maofisa wa UM Ijumatano walipata fursa ya kushuhudia kwenye Makao Makuu, dokezo ya shamrashamra zitakazokuwepo kwenye Tamasha Kuu ya 2009 kuhusu Utamaduni wa KiAfrika, zitakazofanyika kwenye mji wa Dakar, Senegal kuanzia tarehe 1 mpaka 21 Disemba 2009.
Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.