Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hasara na vifo kutokana na maafa vilikithiri ulimwenguni katika 2008 - ISDR

Hasara na vifo kutokana na maafa vilikithiri ulimwenguni katika 2008 - ISDR

Taasisi ya UM juu ya Kupunguza Maafa (ISDR)imeripoti kutoka Geneva kwamba mwaka 2008 ulishuhudia muongezeko mkubwa wa vifo na hasara za kiuchumi kutokana na maafa ya kimataifa, tukilinganisha na takwmiu wastani za kila mwaka kuhusu ajali hizo katika miaka ya 2000 hadi 2007.