Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP yasisitiza watumishi wake lazima wapewe ulinzi bora kuweza kuendelea na huduma za kunusuru maisha Usomali

WFP yasisitiza watumishi wake lazima wapewe ulinzi bora kuweza kuendelea na huduma za kunusuru maisha Usomali

Kwenye taarifa nyengine, kuhusu shughuli za Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP), tumearifiwa kwamba UM unazingatia kusimamisha, kwa muda, huduma zake katika Usomali mpaka pale itakapothibitishiwa hifadhi inayofaa, na ulinzi bora, kwa watumishi wake.