Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP kuongeza huduma za dharurua kwa umma wa Ghaza

WFP kuongeza huduma za dharurua kwa umma wa Ghaza

Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) leo limeanza kugawa kashata za rutubishi za tende pamoja na biskuti maalumu za kutia nguvu, kwa maelfu ya wakazi wa KiFalastina wanaoishi kwenye eneo liliokaliwa la Tarafa ya Ghaza, kufuatia wiki tatu ya mashambulio ya vikosi vya Israel.