Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Msaada wa Ujapani kwa Bonde la Ufa utatumiwa kufufua huduma za kijamii

Msaada wa Ujapani kwa Bonde la Ufa utatumiwa kufufua huduma za kijamii

Kadhalika, Serikali ya Ujapani imefadhilia dola milioni 7 leo hii, kutumiwa kwenye ile miradi ya kufufua huduma za kimsingi kwa maelfu ya wakazi wa eneo la Bonde la Ufa nchini Kenya, raia ambao waliathiriwa kihali na vurugu liliozuka nchini mwao, kufuatia uchaguzi uliopita. Jemini Pandya, Msemaji wa Shirika la Kimataifa juu ya Wahamaji (IOM) aliwaambia waandishi habari Geneva taarifa zaidi juu ya msaada huo:~