Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

FAO imeanzisha taadhima rasmi za Mwaka wa Kimataifa juu ya Fumwele Asilia

FAO imeanzisha taadhima rasmi za Mwaka wa Kimataifa juu ya Fumwele Asilia

Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) wiki hii limeanzisha rasmi taadhima maalumu za Mwaka wa Kimataifa juu ya Ufumwele wa Asili.

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.