Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mada zinazosailiwa katika BU

Mada zinazosailiwa katika BU

Wajumbe wa Baraza la Usalama wamekutana Ijumatano, kwenye kikao cha faragha, kushauriana juu ya masuala yanayohusu hali katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (JKK), Sudan na pia masuala mengine juu ya amani ya kimataifa. ~