Mada zinazosailiwa katika BU
Wajumbe wa Baraza la Usalama wamekutana Ijumatano, kwenye kikao cha faragha, kushauriana juu ya masuala yanayohusu hali katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (JKK), Sudan na pia masuala mengine juu ya amani ya kimataifa. ~