Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO imeripoti vifo vya kipindupindu Zimbabwe vimekiuka 3,000

WHO imeripoti vifo vya kipindupindu Zimbabwe vimekiuka 3,000

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti takwimu mpya kuhusu idadi ya vifo vya kipindupindu katika Zimbabwe, na kueleza sasa hivi idadi hiyo imekiuka vifo 3,000, na imefikia vifo 3,028, kati ya wagonjwa 57,702 walioambukizwa na maradhi hayo tangu mwezi Agosti 2008. ~