Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM sasa wafanikiwa kuhudumia chakula wakazi wa Ghaza 900,000

UM sasa wafanikiwa kuhudumia chakula wakazi wa Ghaza 900,000

Kadhalika UNRWA hii leo imeripoti WaFalastina 900,000 katika Tarafa ya Ghaza, sasa wanahudumiwa chakula na UM kufuatia mashambulio haribifu ya karibuni ya Israel katika eneo hilo.