Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanakijiji 100 wauawa na LRA katika JKK

Wanakijiji 100 wauawa na LRA katika JKK

Liuteni Kanali Jean-Paul Dietrich, Msemaji wa Shirika la UM juu ya Ulinzi Amani katika JKK (MONUC) amenakiliwa akisema kwamba maiti karibu 100 ziligunduliwa karibuni katika jimbo la Orientale, kaskazini-mashariki ya JKK.