Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

'Msaada wa dharura kwa Ghaza ukikamilishwa utafanikiwa kuchochea shughuli muhimu za kiuchumi', asihi Holmes

'Msaada wa dharura kwa Ghaza ukikamilishwa utafanikiwa kuchochea shughuli muhimu za kiuchumi', asihi Holmes

Naibu KM juu ya Masuala ya Kiutu, John Holmes naye pia alishiriki kwenye mahojiano aliyokuwa nayo KM na waandishi habari mjini Davos, na alieleza, kwa kifupi, namna msaada wa kimataifa utakavyohudumiwa kukidhia mahitaji ya umma muathirika katika Ghaza:~~