Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM inakhofia usalama wa raia kufuatia operesheni za majeshi ya Rwanda/JKK dhidi ya FDLR

UM inakhofia usalama wa raia kufuatia operesheni za majeshi ya Rwanda/JKK dhidi ya FDLR

Ron Redmond, Msemaji wa Shirika la UM Linalohudumia Wahamiaji (UNHCR) ameripoti kutoka Geneva kwamba hali ya wasiwasi imeanza kutanda tena kwenye jimbo la Kivu kusini, katika JKK kufuatia operesheni za pamoja za karibuni za majeshi ya Rwanda/JKK dhidi ya waasi wa wanamgambo wa kundi la FDLR.