Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IAEA yaanzisha kampeni ya kukithirisha uzalishaji chakula kwa kutumia teknolojia ya kinyuklia

IAEA yaanzisha kampeni ya kukithirisha uzalishaji chakula kwa kutumia teknolojia ya kinyuklia

Shirika la UM juu ya Matumizi ya Amani ya Nishati ya Nyuklia (IAEA) limetangaza kuanzisha kampeni mpya ya ufugaji mimea kwa kutumia sayansi ya nyuklia, ambayo itasadiai uzalishaji mkubwa wa chakula.