Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkutano wa Doha Kugharamia Maendeleo kuthibitisha tena Mwafaka wa Monterrey

Mkutano wa Doha Kugharamia Maendeleo kuthibitisha tena Mwafaka wa Monterrey

Maofisa wa ngazi za juu kutoka zaidi ya nchi 160, ikijumlisha Viongozi 40 wa Taifa na Serikali walikusanyika kwenye mji wa Doha, Qatar - kuanzia tarehe 29 Novemba hadi 02 Disemba 2008 - kufanya mapitio na tathmini ya pamoja kufuatilia utekelezaji wa mapendekezo ya Muafaka wa Monterrey, Mexico ya 2002 yaliokusudiwa, hasa, kuharakisha shughuli za kuimarisha uchumi maendeleo kwa jamii za nxchi maskini.

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.