Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tume ya Utendaji dhidi ya Vitendo vya Kutorosha na Kupoteza Watu yakamilisha kikao cha 86 Geneva

Tume ya Utendaji dhidi ya Vitendo vya Kutorosha na Kupoteza Watu yakamilisha kikao cha 86 Geneva

Wajumbe wa Kundi la Utendaji la UM kuhusu Masuala ya Watu Wanaotoroshwa na Kupotea wamekamilisha kikao chao cha 86 – kilichofanyika mjini Geneva kuanzia tarehe 26 Novemba hadi Disemba 04, 2008 – kwenye Ofisi ya Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu.