5 Disemba 2008
Wajumbe wa Kundi la Utendaji la UM kuhusu Masuala ya Watu Wanaotoroshwa na Kupotea wamekamilisha kikao chao cha 86 – kilichofanyika mjini Geneva kuanzia tarehe 26 Novemba hadi Disemba 04, 2008 – kwenye Ofisi ya Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu.