Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM anatafakaria Azimio la Haki za Binadamu kuadhimisha Siku ya Kimataifa juu ya Haki za Kimsingi

KM anatafakaria Azimio la Haki za Binadamu kuadhimisha Siku ya Kimataifa juu ya Haki za Kimsingi

“Hii leo, kwenye Siku ya Kusherehekea Haki za Binadamu, vile vile tunaadhimisha miaka sitini tangu Azimio la Kimataifa juu ya Haki za Binadamu lilipopitishwa.