Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ustawi wa kilimo cha mbatata wahatarishwa na migogoro ya uchumi duniani

Ustawi wa kilimo cha mbatata wahatarishwa na migogoro ya uchumi duniani

Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) limechapisha ripoti mpya iliotolewa Ijumatatu inayohadharisha ya kwamba uzalishaji uliostawi wa mbatata/viazi katika mataifa yanayoendela huenda ukazorota kwa sababu ya kupwelewa kwa shughuli za uchumi duniani, kadhia ambayo husababisha upungufu wa uekezaji kwenye kilimo, ukosefu wa biashara katika soko la kimataifa na ukosefu wa uwezo wa kupata mikopo kwa wakulima.