Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mataifa wanachama yanaombwa na WFP kuchangisha msaada wa "uokozi maisha" kwa 2009

Mataifa wanachama yanaombwa na WFP kuchangisha msaada wa "uokozi maisha" kwa 2009

Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeashiria litakabiliwa na jukumu kubwa la kuhudumia chakula watu wenye njaa milioni 100 ulimwenguni katika mwaka 2009.