Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanajeshi wa zamani watatu wa Rwanda wahukumiwa kifungo cha maisha na ICTR

Wanajeshi wa zamani watatu wa Rwanda wahukumiwa kifungo cha maisha na ICTR

Mahakama ya Kimataifa juu ya Rwanda (ICTR) Alkhamisi imetoa hukumu ya kifungo cha maisha kwa maofisa watatu, wa vyeo vya juu, wa jeshi la Rwanda la 1994.