19 Disemba 2008
UNHCR pia imeripoti ya kwamba, kwa kulingana na mapendekezo ya UM, serikali ya Tanzania inajitayarisha mwisho wa mwezi kuifunga ile kambi ya Nduta, iliopo kaskazini-magharibi ya nchi, wanapoishi wahamiaji wa kutokea Burundi.
UNHCR pia imeripoti ya kwamba, kwa kulingana na mapendekezo ya UM, serikali ya Tanzania inajitayarisha mwisho wa mwezi kuifunga ile kambi ya Nduta, iliopo kaskazini-magharibi ya nchi, wanapoishi wahamiaji wa kutokea Burundi.