Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tanzania kufunga kambi ya Nduta kwa wahamiaji wa Burundi: UNHCR

Tanzania kufunga kambi ya Nduta kwa wahamiaji wa Burundi: UNHCR

UNHCR pia imeripoti ya kwamba, kwa kulingana na mapendekezo ya UM, serikali ya Tanzania inajitayarisha mwisho wa mwezi kuifunga ile kambi ya Nduta, iliopo kaskazini-magharibi ya nchi, wanapoishi wahamiaji wa kutokea Burundi.