Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

FAO na Mawaziri wa KiAfrika watathmnia miradi ya maji kuimarisha kilimo na nishati

FAO na Mawaziri wa KiAfrika watathmnia miradi ya maji kuimarisha kilimo na nishati

Wiki hii, kwenye mji wa Sirte, Libya kulifanyika Mkutano Mkuu wa siku tatu, wa kiwango cha mawaziri, kwa madhumuni ya kuzingatia “Utunzaji wa Maji kwa Kilimo na Uzalishaji Nishati katika Afrika”. Ripoti yetu inaelezea, kwa kifupi, lengo hakika la mkutano, ikijumuisha na fafanuzi za Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Kenya juu ya mijadala ya kikao.~

Sikiliza ripoti kamili kwenye idhaa ya mtandao.