Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wataalamu wa Haki za Binadamu wahimiza mchango zaidi kudhibiti kipindupindu Zimbabwe

Wataalamu wa Haki za Binadamu wahimiza mchango zaidi kudhibiti kipindupindu Zimbabwe

Wataalamu wanne wa UM juu ya haki za binadamu leo wametoa mwito maalumu wenye kuhimiza Serikali ya Zimbabwe pamoja na jumuiya ya kimataifa kuongeza mchango wao kwenye misaada ya kiutu kuwahudumia bora umma dhaifu na kukomesha janga liliotanda nchini la maradhi ya kipindupindu.