UNICEF inasema, usalama wa watoto maskulini wategemea majengo madhubuti
Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) leo limetoa mwito maalumu wenye kuhimiza kuchukuliwa juhudi za pamoja, na za lazima, na jumuiya ya kimataifa, kwa makusudio ya kuimarisha majengo ya skuli ili kuhakikisha yanakuwa salama kwa watoto.