23 Disemba 2008
Malori matano ya Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) yaliobeba tani 23 za misaada ya kihali, yaliwasili Ijumapili kwenye wilaya ya Dungu, katika jimbo la Orientale, kaskazini-mashariki, katika JKK.
Malori matano ya Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) yaliobeba tani 23 za misaada ya kihali, yaliwasili Ijumapili kwenye wilaya ya Dungu, katika jimbo la Orientale, kaskazini-mashariki, katika JKK.