Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

"Wahudumia misaada ya kiutu 100 ziada washambuliwa 2008 katika JKK": Holmes

"Wahudumia misaada ya kiutu 100 ziada washambuliwa 2008 katika JKK": Holmes

John Holmes, Mshauri wa UM juu ya Masuala ya Kiutu na Misaada ya Dharura ameripoti kwamba katika mwaka 2008 wahudumia misaada ya kiutu katika JKK walishambuliwa zaidi ya mara 100, na baadhi yao hata waliuawa kutokana na hujuma hizo.