29 Disemba 2008
Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Ahmedou Ould Abdallah Ijumatatu ametangaza mwito unaohimiza kuwepo “ushikamano na umoja” kwa umma wa Usomali, kufuatia kujiuzulu kwa Raisi wa serikali ya mpito, Abdullahi Yusuf Ahmed.
Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Ahmedou Ould Abdallah Ijumatatu ametangaza mwito unaohimiza kuwepo “ushikamano na umoja” kwa umma wa Usomali, kufuatia kujiuzulu kwa Raisi wa serikali ya mpito, Abdullahi Yusuf Ahmed.