Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM asihi "vitendo vya mabavu na vurugu" Ghaza visitishwe, haraka.

KM asihi "vitendo vya mabavu na vurugu" Ghaza visitishwe, haraka.

KM Ban Ki-moon alizungumza na waandishi habari leo adhuhuri ambapo alisihi Israel na ‘Hamas’ kukomesha, haraka, vitendo vyote vya kutumia mabavu katika Tarafa ya Ghaza, na kuchukua hatua zote zinazohitajika kuwaepusha raia na hatari ya kujeruhiwa na mashambulio:~