Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ripoti ya UNODC yathibitisha mauaji yamekithiri Kusini ya Afrika na Amerika za Kati na Kusini

Ripoti ya UNODC yathibitisha mauaji yamekithiri Kusini ya Afrika na Amerika za Kati na Kusini

Ofisi ya UM juu ya Udhibiti wa Madawa ya Kulevya na Uhalifu (UNODC) imechapisha ripoti mpya kuhusu viwango vya mauaji ulimwenguni.