Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Upungufu wa matibabu Ghaza unaashiria ongezeko la vifo kwa majeruhi, WHO imeonya

Upungufu wa matibabu Ghaza unaashiria ongezeko la vifo kwa majeruhi, WHO imeonya

Shirika la Afya Duniani (WHO), kwenye taarifa iliochapishwa Ijumanne ya leo, limeonya ya kuwa mamia ya majeruhi katika hospitali za Tarafa ya Ghaza wanakabiliwa na hatari ya ongezeko kubwa la vifo vinavyozuilika, kwa sababu ya ukosefu wa madawa.