Taathira za makombora Ghaza, dhidi ya watoto, zaitia wasiwasi UNICEF
Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limetoa taarifa inayobainisha wahka mkuu kuhusu kihoro kilichowapata watoto kutokana na athari ya vurugu liliolivaa sasa hivi eneo liliokaliwa la WaFalastina la Tarafa ya Ghaza.