Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vikosi vya AMISOM Usomali vyapongezwa na KM kwa ujasiri wao

Vikosi vya AMISOM Usomali vyapongezwa na KM kwa ujasiri wao

KM Ban Ki-moon amerudia tena mwito alioutoa hapo kabla, unaoyahimiza Mataifa Wanachama kuharakisha kuchangisha misaada ya fedha, pamoja na ile misaada inayohitajika kushughulikia usafirishaji wa watu na vitu, au lojistiki, ili kuhudumia bora operesheni za vikosi vya Umoja wa Afrika katika Usomali, yaani vikosi vya AMISOM.