WHO imefadhiliwa na Norway tani 30 za madawa kuhudumia afya katika JKK
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kufadhiliwa na Serikali ya Norway msaada wa tani 30 za madawa, wa kuhudumia, kwa mwezi mmoja, watu 150,000 na kuwapatia matibabu dhidi ya maradhi ya kuharisha, butaa ya kihoro na kiwewe yanaozushwa na mapigano pamoja na maradhi mengineyo hatari, husuasan yale yanayotokana na maji machafu.~