Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP inaendelea kugawa chakula Goma

WFP inaendelea kugawa chakula Goma

Kwa mujibu wa Msemaji wa MONUC ndege ya shehena ya aina ya C130, iliofadhiliwa UM na Serikali ya Ubelgiji, hutua kila siku Goma na bidhaa za chakula za Shirika la WFP, shirika ambalo tangu Ijumatano limeanza kugawa posho ya chakula kwa wahamiaji wa ndani 135,000 waliopo katika zile kambi sita karibu na mji wa Goma.~~