Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tani 100 ziada za pembe zimeuzwa chini ya uangalizi wa CITES

Tani 100 ziada za pembe zimeuzwa chini ya uangalizi wa CITES

Taasisi ya CITES, ambayo inahusika na utekelezaji wa Mkataba wa Kudhibiti Biashara ya Aina ya Wanyama na Mimea Pori Adimu imeripoti dola milioni 15 zilifanikiwa kuchangishwa baada tani 102 za pembe za ndovu kuuzwa wiki iliopita, fedha ambazo zitasaidia kutunza bora tembo wa Afrika.