Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM imewateua majaji watano kutumikia Mahakama ya ICJ

UM imewateua majaji watano kutumikia Mahakama ya ICJ

Kuhusu habari nyengine, Baraza Kuu la UM na Baraza la Usalama Alkhamisi limeteua mahakimu watano watakaotumikia Mahakama Kuu ya Kimataifa (ICJ) kwa muda wa miaka tisa, kuanzia mwaka 2009.