Mashirika ya UM yahudumia misaada ya kihali kwa waathiriwa raia katika JKK
Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) linaendelea kugawa posho ya chakula kwa wahamiaji wa ndani 135,000 katika kambi sita za muda, ziliopo Goma, mji wa mashariki katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (JKK).