Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Huduma za kiutu zimezorotishwa JKK kutokana na mapigano

Huduma za kiutu zimezorotishwa JKK kutokana na mapigano

Elizabeth Byrs, Msemaji wa Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) Ijumaa aliwaelezea waandishi habari mjini Geneva juu ya vizuizi vinavyokwamisha sasa hivi zile huduma za kugawa misaada ya kiutu kwa umma muhitaji, kufuatia mapigano yaliofumka karibu na maeneo ya Goma na Grand Nord, ambapo hali inasemekana huko bado ni shwari.