Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

SADC inazingatia kupeleka wanajeshi katika JKK

SADC inazingatia kupeleka wanajeshi katika JKK

Wakati huo huo, kwenye kikao cha dharura kilichohudhuriwa na Wakuu wa Taifa na Serikali wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Kusini ya Afrika (SADC), kilichofanyika Ijumapili kwenye mji wa Sandton, Afrika Kusini kulipitishwa mapendekezo kadha, ikiwemo ile rai ya kutuma washauri wa kijeshi kusaidia vikosi vya Serikali kukabiliana na vurugu linaloendelea kutanda katika JKK, pindi Serikali ya huko itatuma ombi la kuhitajia msaada huo. ~