Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ofisa Mkuu wa UM katika JKK ameyalinganisha mauaji ya raia sawa na "uhalifu wa vita"

Ofisa Mkuu wa UM katika JKK ameyalinganisha mauaji ya raia sawa na "uhalifu wa vita"

Mauaji ya raia yaliofanywa na waasi wiki iliopita, kwenye mji wa Kiwanja, uliopo sehemu za mashariki, katika JKK ni tukio ambalo Mjumbe Maalumu wa KM kwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Alan Doss amelifananisha na “makosa makubwa ya jinai ya vita”.