Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR yaendelea kuhudumia kihali wahamiaji wa dharura Goma

UNHCR yaendelea kuhudumia kihali wahamiaji wa dharura Goma

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) nalo pia linaendelea na juhudi za kuwahudumia kihali maelfu ya wahamiaji wa ndani wa JKK. Ijumatatu, ndege iliokodiwa na UM, iliochukua tani 36 ya mahitaji ya kufarajia umma huo, iliwasili Entebbe, Uganda.