11 Novemba 2008
Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeripoti kukamilisha ugawaji wa posho ya siku kumi kwa wahamiaji muhitaji 135,000 ambao waling’olewa makazi kwa sababu ya mapigano.
Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeripoti kukamilisha ugawaji wa posho ya siku kumi kwa wahamiaji muhitaji 135,000 ambao waling’olewa makazi kwa sababu ya mapigano.