Skip to main content

WFP yakamilisha ugawaji chakula Kongo mashariki kwa wahamiaji 135,000

WFP yakamilisha ugawaji chakula Kongo mashariki kwa wahamiaji 135,000

Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeripoti kukamilisha ugawaji wa posho ya siku kumi kwa wahamiaji muhitaji 135,000 ambao waling’olewa makazi kwa sababu ya mapigano.