Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF imearifu kuwasili misaada ya madawa Goma

UNICEF imearifu kuwasili misaada ya madawa Goma

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limearifu kuwasili Goma, mnamo Ijumatatu na Ijumanne, kwa ndege nne zilizochukua shehena ya madawa kinga dhidi ya maradhi kipindupindu na dhidi ya maambukizo yanayoathiri uvutaji pumzi.