Wachumi wa Afrika wanakutana Tunis kusailia sera zifaazo kuimarisha maendeleo
Wataalamu wa uchumi pamoja na wabunisera wa kutoka nchi kadha za Afrika wamekutana hii leo kwenye mji wa Tunis, Tunisia kuanza mkutano wa siku tatu kushindiliza utekelezaji imara wa miradi ya uchumi kwenye nchi zao.