Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Majadiliano ya imani anuwai yahimizwa na BK kuimarisha amani duniani

Majadiliano ya imani anuwai yahimizwa na BK kuimarisha amani duniani

Baraza Kuu la UM linaendelea na siku ya pili ya mkutano unaohudhuriwa na wawakilishi wote ambapo wajumbe wa kimataifa walibadilishana mawazo na kujadiliana maoni kuhusu utaratibu wa kutekelezwa kipamoja kuimarisha “Utamaduni wa Amani” ulimwenguni.