Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNCTAD inahimiza nchi masikini zifadhiliwe misaada ya kiuchumi kujikinga na matatizo ya fedha

UNCTAD inahimiza nchi masikini zifadhiliwe misaada ya kiuchumi kujikinga na matatizo ya fedha

Kwenye kikao cha 45 cha Bodi la Utendaji la Shirika la UM juu ya Biashara na Maendeleo (UNCTAD) kilichofanyika Geneva Ijumaa ya leo, KM wa taasisi hiyo, Supachai Panitchpakdi alikumbusha ya kuwa wakati umewadia kwa Mataifa Wanachama wa UM, kushirikiana kidharura, kubuni mfumo wa marekibisho kukabiliana na mgogoro wa fedha kwenye soko la kimataifa.